MECHI YA YANGA NA SIMBA KUCHEZESHWA NA WAMUZI KUTOKA NJE, TFF YAKUBALI YAISHE, MWAAMUZI AUSTRALIA WATUMA MAOMBI>>>> - KASULU WADAU BLOG

Breaking

ONLINE

Friday, November 10, 2017

MECHI YA YANGA NA SIMBA KUCHEZESHWA NA WAMUZI KUTOKA NJE, TFF YAKUBALI YAISHE, MWAAMUZI AUSTRALIA WATUMA MAOMBI>>>>

Chama cha mpira wa miguu Tanzania TFF kitawalazimu kuruhusu mechi za simba na Yanga zichezeshwe na waamuzi kutoka nje,

Licha ya mashabiki kulalamika lakini tff imekuwa ikilifumbia macho jambo hili bila kujua wao wakifanya hivo itawatoa kwenye mzozo kati yao na mashabiki.

Tff huenda wakarusu jambo hilo ili kuweka mambo sawa.

No comments:

Post a Comment