KAGERA SUGER SASA MAMBO SAFI,WAPYA NDANI YA NYUMBA DILISHA DOGO,MBARAKA SI CHOCHOTE KILA MECHI WAYAAA. - KASULU WADAU BLOG

Breaking

ONLINE

Tuesday, November 7, 2017

KAGERA SUGER SASA MAMBO SAFI,WAPYA NDANI YA NYUMBA DILISHA DOGO,MBARAKA SI CHOCHOTE KILA MECHI WAYAAA.

Kagera sukari kufanya usajili dilisha dogo kwa ajili ya kuziba pengo la Mbalaka Yusuph ambae msimu jana ametimkia Azam Fc.

Kagera suger wanategemea kumnasa mshambuliaji kutoka simba ambae jina lake bado imekuwa siri,

Endelea kuwa nasi ili tukusogezee habari zaidi.

No comments:

Post a Comment