Klub ya simba ambayo ilianzishwa miaka ya 1936 leo hii imejikuta ikiangukia pua kwa kichapo cha penati 5-4 dhidi ya Green worios ambayo inashiliki ligi daraja la kwanza.
Green walikuwa wa kwanza kukosa penati simba wakapoteza kupitia kwa beki wao wa kutegemewa Hohamed Hussein ( Shabalala) na baadae kukosa ya pili wakati Green wao walikosa penati moja.
Sasa Green worios wanasonga mbele.
Green walikuwa wa kwanza kukosa penati simba wakapoteza kupitia kwa beki wao wa kutegemewa Hohamed Hussein ( Shabalala) na baadae kukosa ya pili wakati Green wao walikosa penati moja.
Sasa Green worios wanasonga mbele.
No comments:
Post a Comment