SIMBA MAMBO SAFIIII KULETA STRAIKA MATATA, YANGA WAHUJUMIWA, WAANZA KUTAFUTA MCHAWI NANI, KASULUWADAU BLOG - KASULU WADAU BLOG

Breaking

ONLINE

Saturday, November 11, 2017

SIMBA MAMBO SAFIIII KULETA STRAIKA MATATA, YANGA WAHUJUMIWA, WAANZA KUTAFUTA MCHAWI NANI, KASULUWADAU BLOG

Klub ya wekundu wa msimbazi simba inatarajiwa kuwapoke straika kutoka majuu kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo ya mtaa wa msimbazi, Simba ambao kikosi chao kinaimalika siku hadi sasa wamwamua kutoka kimataifa kitafuta strika matata kutoka Australia.

Yanga wao bado kabisa wanapulia milija baada ya Kocha wao mkuu Lwandamina kutimkia kwao Zimbabwe na hajajulikana atarudi lini.

Kasulu wadau blog

No comments:

Post a Comment