Mshambuliaji wa kimataifa kutoka Tanzania Mbana Samatta amefanyiwa upasuaji katika goti lake la mguu wa kulia, Mshambuliaji huyo ametoa neno kuelekea mechi ya Tanzania vs Benin, Amewaasa kujituma sana uwanjani ili kupata matokeo mazuri.
Nahodha huyo wa timu ya taifa Tanzania na mshambuliaji hatari wa klub ya Genk ya huko Uberigiji mesema anaendelea vizuri licha ya kukaa nje miezi 2 akiuguza majeraha yake.
Kasulu wadau blog
Nahodha huyo wa timu ya taifa Tanzania na mshambuliaji hatari wa klub ya Genk ya huko Uberigiji mesema anaendelea vizuri licha ya kukaa nje miezi 2 akiuguza majeraha yake.
Kasulu wadau blog
No comments:
Post a Comment