Klabu ya simba imeondoka leo kuelekea Mkoni Katavi ambako huko itajipima ubavu na timu zilizoko uko zinazoshiliki ligi daraja la kwanza, Ikumbukwe kuwa Simba inaenda huko huku ikiwa imemfunga mbeya city goli moja kwa sufuli goli pekee lililofungwa na Shiza Kichuya.
Simba wanakwenda kujiandaa na mechi dhidi ya Tanzania Prisons ya huko mbeya baada ya kumaliza mechi za kirafiki huko Katavi.
Karibu na endelea kupata habari kemkem kutoka hapa.
Kasulu wadau.com
Simba wanakwenda kujiandaa na mechi dhidi ya Tanzania Prisons ya huko mbeya baada ya kumaliza mechi za kirafiki huko Katavi.
Karibu na endelea kupata habari kemkem kutoka hapa.
Kasulu wadau.com
No comments:
Post a Comment