MAKOCHA WA SIMBA NA YANGA WENYE MAKHABA NA TIMU ZAO
*MAKOCHA* *AMBAO* *NI* *WANACHAMA* *WA* *SIMBA*
*ABDALAH* *KIBADENI*
Huyu alikuwa kocha wa kagera sugar wamekutana na Simba Mara tatu na zote Simba kapigwa
*JULIO* *KIWELU*
huyu alikuwa kocha wa mwadui fc wamekutana na Simba Mara mbili na zote walitoka draw
*SELEMANI* *MATORA*
Huyu mpaka sasa ni kocha mkuu wa lipuli fc wamekutana na Simba Mara moja na wame draw
*TUNAKUJA* *KWA* *UPANDE* *WA* *YANGA*
*BONIFACE* *MKWASA*
huyu alikuwa kocha mkuu wa ruvu shuting wamekutana Mara tatu na yanga na zote yanga kashinda
*FREDY* *MINZIRO*
Huyu alikuwa kocha mkuu wa jkt ruvu wamekutana Mara nne na yanga zote yanga kashinda
*CHARLES* *KILINDA*
Huyu alikuwa kocha mkuu wa jkt ruvu amekutana na yanga mara tatu na zote yanga kashinda
*KWATAKWIMU* *HIZO* *NINI* *MAANA* *YAKE*
Maana yake ni kwamba ukiwa shabiki wa yanga kuisaliti YANGA hakuna kwakuwa unaipenda yanga kutoka moyoni
*HILA* *KWAUPANDE* *WASIMBA*
mashabiki wengi wa Simba ni wanafki hawaipendi Simba kutoka moyoni
Wanapenda kwa mambo matatu
1) wapo kwa maslai yao binafsi
2) wapo kwakuwa hawanatimu nyingine ya kushabikia
3) wapo na wao waonekane ni watu wa mpira
*MAKOCHA* *AMBAO* *NI* *WANACHAMA* *WA* *SIMBA*
*ABDALAH* *KIBADENI*
Huyu alikuwa kocha wa kagera sugar wamekutana na Simba Mara tatu na zote Simba kapigwa
*JULIO* *KIWELU*
huyu alikuwa kocha wa mwadui fc wamekutana na Simba Mara mbili na zote walitoka draw
*SELEMANI* *MATORA*
Huyu mpaka sasa ni kocha mkuu wa lipuli fc wamekutana na Simba Mara moja na wame draw
*TUNAKUJA* *KWA* *UPANDE* *WA* *YANGA*
*BONIFACE* *MKWASA*
huyu alikuwa kocha mkuu wa ruvu shuting wamekutana Mara tatu na yanga na zote yanga kashinda
*FREDY* *MINZIRO*
Huyu alikuwa kocha mkuu wa jkt ruvu wamekutana Mara nne na yanga zote yanga kashinda
*CHARLES* *KILINDA*
Huyu alikuwa kocha mkuu wa jkt ruvu amekutana na yanga mara tatu na zote yanga kashinda
*KWATAKWIMU* *HIZO* *NINI* *MAANA* *YAKE*
Maana yake ni kwamba ukiwa shabiki wa yanga kuisaliti YANGA hakuna kwakuwa unaipenda yanga kutoka moyoni
*HILA* *KWAUPANDE* *WASIMBA*
mashabiki wengi wa Simba ni wanafki hawaipendi Simba kutoka moyoni
Wanapenda kwa mambo matatu
1) wapo kwa maslai yao binafsi
2) wapo kwakuwa hawanatimu nyingine ya kushabikia
3) wapo na wao waonekane ni watu wa mpira
No comments:
Post a Comment