IBRAHIM MO NAYE HUYOO KIMATAIFA, MSIMBAZI PABAKI KWEUPE, KOCHA KUTUPIWA LAWAMA>>>> - KASULU WADAU BLOG

Breaking

ONLINE

Wednesday, November 8, 2017

IBRAHIM MO NAYE HUYOO KIMATAIFA, MSIMBAZI PABAKI KWEUPE, KOCHA KUTUPIWA LAWAMA>>>>


Baada ya kukaa bench mara kwa mara sasa Mo Ibrahim kufuata nyayo za akina samata.

Hivi Simba tunapomuweka mo ibrah benchi hadi dk za mwisho tunategemea nini kwasababu kila nikitafakari Mimi ka shabiki wa Simba sielewi kinachoendelea wapo wachezaji  wengi2 ambao tumewasajili kwa pesa tena nyingi lkn wanasugua benchi hawajui hata ladha ya ligi kuu msimu huu ijapo bado unaendelea lkn nyota njema huonekana asbh  kwa mfano Jamal mambeleo, bukaba, mnyate  na wengineo wengi2 ambao siwezi kuwaorodhesha wote hapa hivyo kama hatutobadilika tutawakatisha tamaa wachezaji kusajiliwa na hivi vilabu vikubwa  mtu ataona bora asajiliwe hata kama ni hivi vilabu vidogo lkn anajua haendi kuua kipaji maana mtu kama Mpira ndo kazi yake hii ukizidi kumuweka bench hatimae hata kiwango chake kinashuka

No comments:

Post a Comment