Dakika 90 zimemalizika kutoka Uwanja wa Port Said, Misri, ambapo mechi ya Al Masry dhidi ya Simba SC imeenda suluhu ya 0-0.
Matokeo haya yanawapa faida wenyeji, kusonga mbele mpaka hatua ya makundi huku Simba ikitupiwa virago, baada ya mchezo wa kwanza uliofanyika Tanzania kumalizika kwa sare.
Al Masry walilazimisha sare kwenye mchezo wa kwanza kwa jumla ya mabao 2-2, na kuwafanya wawe na faida ya bao moja la ugenini.
Ilitarajiwa Simba wangeungana na Yanga kwenye mashindano haya baada ya suluhu waliyoipata dhidi ya Township Rollers ya Botswana.
Yanga imesalia kama mwakilishi pekee kutoka Tanzania iliyo kwenye mashindano ya kimataifa, kutokana na Simba kuondoshwa na Al Masy.
Matokeo haya yanawapa faida wenyeji, kusonga mbele mpaka hatua ya makundi huku Simba ikitupiwa virago, baada ya mchezo wa kwanza uliofanyika Tanzania kumalizika kwa sare.
Al Masry walilazimisha sare kwenye mchezo wa kwanza kwa jumla ya mabao 2-2, na kuwafanya wawe na faida ya bao moja la ugenini.
Ilitarajiwa Simba wangeungana na Yanga kwenye mashindano haya baada ya suluhu waliyoipata dhidi ya Township Rollers ya Botswana.
Yanga imesalia kama mwakilishi pekee kutoka Tanzania iliyo kwenye mashindano ya kimataifa, kutokana na Simba kuondoshwa na Al Masy.
No comments:
Post a Comment