Kamati ya mabadiliko - Yanga SC iliotangazwa leo hii na Kaimu Mwenyekiti Clement Sanga kwenye mkutano na waandishi wa habari.
1. Alex Mgongolwa - m/kiti - mwanasheria
2. Prof Mgongo Fimbo - mtaalam wa katiba na sheria za ardhi
3. Meki Sadiki - mkuu wa mkoa mstaafu
4. Mohamed Nyenge - mchumi na m/kiti kamati ya uchumi na fedha - Yanga
5. George Fumbuka - mshauri masuala ya uwekezaji
6. Felix Mlaki - mchumi na mtaalam wa masuala ya fedha
1. Alex Mgongolwa - m/kiti - mwanasheria
2. Prof Mgongo Fimbo - mtaalam wa katiba na sheria za ardhi
3. Meki Sadiki - mkuu wa mkoa mstaafu
4. Mohamed Nyenge - mchumi na m/kiti kamati ya uchumi na fedha - Yanga
5. George Fumbuka - mshauri masuala ya uwekezaji
6. Felix Mlaki - mchumi na mtaalam wa masuala ya fedha
No comments:
Post a Comment