JE! SIMBA YA MABILIONI KUKALISHWA LEO DHIDI YA RUKWA FC YA DARAJA LA TATU !!??, OMOG KUJIULIZA LEO ENDEPO ATACHAPWA - KASULU WADAU BLOG

Breaking

ONLINE

Saturday, November 11, 2017

JE! SIMBA YA MABILIONI KUKALISHWA LEO DHIDI YA RUKWA FC YA DARAJA LA TATU !!??, OMOG KUJIULIZA LEO ENDEPO ATACHAPWA

Baada klub kubwa nchini Simba Fc kutoa sale DHIDI ya Nyundo sasa leo hii inaangukia mikononi mwa Rukwa Fc timu ambayo ipo kwenye kiwango kizuri.

Simba licha ya kuwa na kikosi kipana na chenye kujituma uwanjani kinakwenda kujipima ubavu na Rukwa Fc ambayo iko Daraja la tatu timu ambayo ndio inachipuka huenda ikailaza simba kwa kichapo ambacho kitampa mawazo Omog.

Karibu

No comments:

Post a Comment